Noble Quran » Swahili » Sorah Al-Qalam ( The Pen )
Choose the reader
Swahili
Sorah Al-Qalam ( The Pen ) - Verses Number 52
إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ وَهُوَ أَعْلَمُ بِالْمُهْتَدِينَ ( 7 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 7](style/default/icons/mp3.png)
Hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye ajuaye zaidi nani aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.
إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ ( 15 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 15](style/default/icons/mp3.png)
Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
إِنَّا بَلَوْنَاهُمْ كَمَا بَلَوْنَا أَصْحَابَ الْجَنَّةِ إِذْ أَقْسَمُوا لَيَصْرِمُنَّهَا مُصْبِحِينَ ( 17 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 17](style/default/icons/mp3.png)
Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi.
فَطَافَ عَلَيْهَا طَائِفٌ مِّن رَّبِّكَ وَهُمْ نَائِمُونَ ( 19 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 19](style/default/icons/mp3.png)
Basi lilitokea tukio juu yake kutoka kwa Mola wako Mlezi, nao wamelala!
أَنِ اغْدُوا عَلَىٰ حَرْثِكُمْ إِن كُنتُمْ صَارِمِينَ ( 22 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 22](style/default/icons/mp3.png)
Ya kwamba nendeni kondeni mwenu ikiwa mnataka kuvuna.
أَن لَّا يَدْخُلَنَّهَا الْيَوْمَ عَلَيْكُم مِّسْكِينٌ ( 24 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 24](style/default/icons/mp3.png)
Ya kuwa leo hata masikini mmoja asikuingilieni.
قَالَ أَوْسَطُهُمْ أَلَمْ أَقُل لَّكُمْ لَوْلَا تُسَبِّحُونَ ( 28 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 28](style/default/icons/mp3.png)
Mbora wao akasema: Sikukwambieni, kwa nini hamumtakasi Mwenyezi Mungu?
قَالُوا سُبْحَانَ رَبِّنَا إِنَّا كُنَّا ظَالِمِينَ ( 29 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 29](style/default/icons/mp3.png)
Wakasema: Ametakasika Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tulikuwa wenye kudhulumu.
فَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَلَاوَمُونَ ( 30 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 30](style/default/icons/mp3.png)
Basi wakakabiliana kulaumiana wao kwa wao.
عَسَىٰ رَبُّنَا أَن يُبْدِلَنَا خَيْرًا مِّنْهَا إِنَّا إِلَىٰ رَبِّنَا رَاغِبُونَ ( 32 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 32](style/default/icons/mp3.png)
Asaa Mola wetu Mlezi akatubadilishia lilio bora kuliko hili. Hakika sisi ni wenye kurejea kwa Mola wetu Mlezi.
كَذَٰلِكَ الْعَذَابُ ۖ وَلَعَذَابُ الْآخِرَةِ أَكْبَرُ ۚ لَوْ كَانُوا يَعْلَمُونَ ( 33 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 33](style/default/icons/mp3.png)
Namna hivi yanakuwa mateso, na bila ya shaka mateso ya Akhera ni makubwa zaidi, laiti wangeli jua!
إِنَّ لِلْمُتَّقِينَ عِندَ رَبِّهِمْ جَنَّاتِ النَّعِيمِ ( 34 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 34](style/default/icons/mp3.png)
Hakika wachamngu watakuwa na Bustani za neema kwa Mola wao Mlezi.
أَمْ لَكُمْ أَيْمَانٌ عَلَيْنَا بَالِغَةٌ إِلَىٰ يَوْمِ الْقِيَامَةِ ۙ إِنَّ لَكُمْ لَمَا تَحْكُمُونَ ( 39 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 39](style/default/icons/mp3.png)
Au mnazo ahadi za viapo juu yetu za kufika Siku ya Kiyama ya kuwa hakika mtapata kila mnayo jihukumia?
أَمْ لَهُمْ شُرَكَاءُ فَلْيَأْتُوا بِشُرَكَائِهِمْ إِن كَانُوا صَادِقِينَ ( 41 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 41](style/default/icons/mp3.png)
Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
يَوْمَ يُكْشَفُ عَن سَاقٍ وَيُدْعَوْنَ إِلَى السُّجُودِ فَلَا يَسْتَطِيعُونَ ( 42 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 42](style/default/icons/mp3.png)
Siku utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza,
خَاشِعَةً أَبْصَارُهُمْ تَرْهَقُهُمْ ذِلَّةٌ ۖ وَقَدْ كَانُوا يُدْعَوْنَ إِلَى السُّجُودِ وَهُمْ سَالِمُونَ ( 43 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 43](style/default/icons/mp3.png)
Macho yao yatainama chini, fedheha itawafunika. Na hakika walikuwa wakiitwa wasujudu walipo kuwa wazima -
فَذَرْنِي وَمَن يُكَذِّبُ بِهَٰذَا الْحَدِيثِ ۖ سَنَسْتَدْرِجُهُم مِّنْ حَيْثُ لَا يَعْلَمُونَ ( 44 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 44](style/default/icons/mp3.png)
Basi niache na wanao kadhibisha maneno haya! Tutawavutia kidogo kidogo kwa mahali wasipo pajua.
وَأُمْلِي لَهُمْ ۚ إِنَّ كَيْدِي مَتِينٌ ( 45 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 45](style/default/icons/mp3.png)
Na ninawapururia muhula; hakika hila zangu ni imara.
أَمْ تَسْأَلُهُمْ أَجْرًا فَهُم مِّن مَّغْرَمٍ مُّثْقَلُونَ ( 46 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 46](style/default/icons/mp3.png)
Au unawaomba ujira, na wao wanaemewa na gharama hiyo?
فَاصْبِرْ لِحُكْمِ رَبِّكَ وَلَا تَكُن كَصَاحِبِ الْحُوتِ إِذْ نَادَىٰ وَهُوَ مَكْظُومٌ ( 48 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 48](style/default/icons/mp3.png)
Basi ingojee hukumu ya Mola wako Mlezi, wala usiwe kama mmezwa na samaki, alipo nadi naye kazongwa.
لَّوْلَا أَن تَدَارَكَهُ نِعْمَةٌ مِّن رَّبِّهِ لَنُبِذَ بِالْعَرَاءِ وَهُوَ مَذْمُومٌ ( 49 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 49](style/default/icons/mp3.png)
Kama isingeli mfikia neema kutoka kwa Mola wake Mlezi, bila ya shaka angeli tupwa ufukweni naye ni mwenye kulaumiwa.
فَاجْتَبَاهُ رَبُّهُ فَجَعَلَهُ مِنَ الصَّالِحِينَ ( 50 )
![Al-Qalam ( The Pen ) - Ayaa 50](style/default/icons/mp3.png)
Lakini Mola wake Mlezi alimteua na akamfanya miongoni mwa watu wema.
Random Books
- Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi MunguYaliyomo: • Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu Ni Ipi? • Jina La Dini • Mwenyezi Mungu Na Uumbaji • Ujumbe Wa Dini Za Uwongo • Dini Ya Mwenyezi Mungu Ni Ya Ulimwengu Mzima • Kumtambua Mwenyezi Mungu. • Dalili Za Mwenyezi Mungu. • Hitimisho
Source : http://www.islamhouse.com/p/161314
- KUSAFISHA KUW AAMINI UCHAFU WA KUTO AMINI-
Source : http://www.islamhouse.com/p/339834
- HUJJA THABITI HUKMU YA MWENYE KUTAKA KUOKOLEWA NA ASIYEKUWA M'NGU AU AKASADIKI WAGANGA NA WAPIGA BAO KIMETUNGWA NA MWANACHUONI MjUZI MTUKUFU-
Source : http://www.islamhouse.com/p/339838
- Ujumbe wa kweli wa Yesu KristoUjumbe wa kweli wa Yesu Kristo.
Source : http://www.islamhouse.com/p/371264
- Ujumbe wa kweli wa Yesu KristoUjumbe wa kweli wa Yesu Kristo.
Source : http://www.islamhouse.com/p/371264